MBWEMBWE NA VITUKO KUTOKA NDONDO CUP VITAZAME HAPA

IMG_0597
Jana Chief wa Kauzu FC aliuteka uwanja wa Bandari baada ya kutimiza ahadi yake ya kutua uwanjani kwa ungo kui-support timu yake
wakati inacheza na Black Six mchezo ambao ulimalizika kwa Kauzu FC kushonda kwa bao 1-0.
Uhondo wa Ndondo Cup upo ndani na nje ya uwanja, uwanjani unashuhudia soka safi kutoka kwa vijana wenye vipaji wakati nje ya uwanja unapata burudani kutoka kwa vikundi vya ushangiliaji ambavyo vinashangilia timu zao mwanzo mwisho.
IMG_0592
IMG_0595
IMG_0588
IMG_0575
IMG_0555
IMG_0550
IMG_0542
IMG_0534
IMG_0002
IMG_0529
IMG_0522
IMG_0512
IMG_0001

No comments:

Powered by Blogger.