Picha: Mapokezi ya Diamond, Familia yake na Team yake Mjini KISUMU

Mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platinum siku ya jana akiwa
na Zari  na Tiffah
pamoja na team yake ya wasafi walitua mjini Kisumu nchini Kenya, na hizi ni baadhi ya picha za mapokezi yake hapo jana pamoja na ‘sound check’ aliyoifanya mapema leo kwa ajili ya show itakayofanyika leo mjini humo.

No comments:

Powered by Blogger.