Wema Sepetu na Tundu Lissu Wafikishwa Mahakamani Mchana Huu

Mbunge wa Singida Mashariki na Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Tundu Lissu pamoja na Mwigizaji Wema Sepetu wamefikishwa Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu mchana huu  kujibu tuhuma zinazowakabili.

Tundu Lissu kasomea mashitaka manne ya uchochezi .Kesi inayomkabili Wema Sepetu ni kukutwa na msokoto wa bangi nyumbani kwake

No comments:

Powered by Blogger.