VideoMPYA: Meda wa barua ya Diamond katuletea nyingine inaitwa ‘Alele’


Ukubwa wa jina lake ulionekana baada ya kuachia hit song iliyoitwa ‘barua ya Diamond‘,  huyu anaitwa Meda Classic msanii wa bongo flava kutokea Iringa


ambaye kwa sasa katusogezea mdundo wake mwingine mpya unaoitwa ‘Alele‘ ambao audio yake imesimamiwa na producer Maxmaizer wakati video ikiongozwa na Deo Abel.Ukimaliza kuitazama hapa chini unaweza kudondosha comment yako kisha baadaeMeda Classic atapita kuzisoma zote..

No comments:

Powered by Blogger.