HII NDIO TOP 1O YA WASICHANA/WANAWAKE WAZURI ZAIDI DUNIANI KWA MWAKA 2015,WATAZAME HAPA LIVE KABISA
9. Priyanka Chopra
Huyu aliwahi kuwa miss wa dunia kutoka nchi ya India.Ni muigizaji pia ni muimbaji
8. Kate Upton
Huyu ni modo marufu sana anayefanya shughuli zake katika nchi za Uingereza na Marekani
7. Taylor Swift
Muimbaji pia mwandishi wa nyimbo mbali mbali kutoka Marekani.Anajulikana kwa kutunga nyimbo ambazo zinazungumzia maisha yake mwenyewe.Amesha shinda tuzo nyingi sana za mziki zikiwamo Gramy ambazo anazo 7.
5. Emma Watson
Huyu ni binti mrembo sana kutoka Uingereza kwa waliokwisha kuangalia muvi ya Harry Potter,kwa sasa anajishughulisha na masuala ya Umodo pamoja na Uigizaji
Huyu ni binti mrembo sana kutoka Uingereza kwa waliokwisha kuangalia muvi ya Harry Potter,kwa sasa anajishughulisha na masuala ya Umodo pamoja na Uigizaji










No comments: