Diamond Platinumz amkabithi Paul Makonda, mchango wa madawati 600.


Kupitia kipindi cha #FNL kinachorushwa na EATV siku ya Ijumaa, msanii Diamond Platinumz aliahidi
kuna tukio kubwa atafanya siku ya J'tatu. Na leo hii ametimiza ahadi hiyo baada ya kumkabidhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, mchango wa  madawati 600.

Kama mtanzania mzalendo, tupia neno moja la pongezi kwake

No comments:

Powered by Blogger.