Mawaziri na Wabunge Wamiminika Kumpa Pole Kitwanga

Wabunge mjini Dodoma wamiminika nyumbani kwa aliyekuwa waziri wa mambo ya ndani
Charles kitwanga ,mawaziri na wabunge wamechukua hatua ya kwenda kumuona aliyekuwa waziri mwenzao na alisikika waziri mmoja akisema kuwa

" hili si jambo la kucheka kwani hii ni kama ajali ya kisiasa iliyomtokea mwenzetu kwani toka atenguliwe nafasi yake hayuko sawa lakini tunaimani atakuwa sawa tu, ndiyo maana tumekuja kumpa pole na kumfariji" alisikika waziri mmoja.

No comments:

Powered by Blogger.