Mbatia Athibitishwa Na Mahakama Kuwa Mbunge Halali Wa Jimbo La Vunjo Baada ya Mrema Kuifuta Kesi


Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mh.James Mbatia pichani kati,amethibitishwa na mahakama kuu kuwa mbunge halali wa  Jimbo hilo baada ya Augustino Lyatonga Mrema  kuifuta kesi hiyo

 Kesi hiyo ya uchaguzi katika jimbo la Vunjo ilifunguliwa na aliyekuwa mbunge wa Jimbo hilo, Augustino Lyatonga Mrema.

No comments:

Powered by Blogger.