Maneno 19 ya Jerry Muro kwa kocha Hans van Pluijm baada ya kusaini Singida United
Baada ya kutangaza kuvunjwa mkataba Dar es Salaam Young Africans na kocha wake wa zamani ambaye walimpatia majukumu mapya ya kuwa mkurugenzi wa ufundi raia wa Uholanzi Hans van Pluijm, leo March 17 2017 timu ya Singida United iliyopanda kucheza Ligi Kuu imempa mkataba wa miaka miwili kocha huyo.
Kuondolewa kwa Hans van der Pluijm akiwa kaipatia Ubingwa wa Ligi Kuu na FA Yanga msimu uliyopita sambamba na kuiwezesha kufika hatua ya makundi ya michuano ya Kombe la shirikisho barani Afrika, kumewashangaza wengi kutokana na kutoona sababu za msingi za kumuondoa Hans
No comments: