Hadithi ya kusisimua #Mimba_ya_Jini -10-
Mtunzi: #Mzizi_Mkavu
#SHARE KWA MARAFIKI GROUP NASURIRIA SHARE 250 NIPOST NYINGNE
ILIPOISHIA:
"Poa, akirudi nitamuona," Mustafa alijibu huku akienda ofisini kwake.
Alipofika, alikaa kwenye kiti na kutulia kwa muda kabla ya kuanza kazi, aliwaza kuhusu hali ya mke wake na yaliyomtokea.
Alipofika, alikaa kwenye kiti na kutulia kwa muda kabla ya kuanza kazi, aliwaza kuhusu hali ya mke wake na yaliyomtokea.
SASA ENDELEA...

Alishangaa kiburi cha mkewe kukaidi amri ya Shehna kwa kutumia kipimo cha mimba wakati alikatazwa. Alijikuta akimlaumu mkewe kwa ukaidi alioufanya kufikia hatua ya kupoteza ujauzito.
Pia hali aliyoikuta nyumbani kwake ilimtisha sana na kushangazwa kukuta kumesafishwa, hakuna dalili za damu kumwagika. Alijikuta akijiuliza nani aliyefanya usafi ule wakati anaondoka nyumbani hakukuwa na mtu yeyote lakini aliporudi alikuta pamefasafishwa.
Wazo lake lilikuwa labda shoga yake alipita kumsalimia na kukuta hali ile na kuamua kufanya usafi. Lakini kilichomshtua ni sehemu yenyewe ya tukio kuwa chumbani kwake na kushangaa kama shoga yake aliingia chumbani na kufanya usafi.
Aliamini kama ni shoga yake lazima atapiga simu kuuliza kilichotokea. Mustafa akiwa katikati ya mawazo, Sara aliingia na faili la kazi na kushangaa kumkuta bosi wake amezama kwenye dimbwi la mawazo.
"Bosi vipi?"
"Poa," Mustafa alijibu huku akinyanyua uso kumtazama Sara.
"Upo sawa?"
"Kiasi."
"Mmh! Bosi basi jana hata sielewi kilichonitokea!"
"Kitu gani Sara?"
Basi bosi baada ya wewe kuondoka, ghafla nilichukua vitu vyak..."
Kabla Sara hajaendelea kumhadithia, alinyamaza baada ya kusikia sauti ya mtu mapokezi.
Alitoka kwenda kumuangalia, alipofika alishtuka kutomkuta mtu. Lakini ghafla alishangaa kusikia kizunguzungu, alikwenda kwenye kiti chake na kukaa.
Baada ya kukaa alisikia usingizi mzito, alipojaribu kujiepesha, usingizi ulimpitia. Sara aliposhtuka alijikuta amelala kwenye kochi nyumbani kwake akiwa na nguo zake za kazini.
Alishtuka na kujiuliza kinachomtokea ni kweli au anaota, alikumbuka tukio kama hilo lilimtokea jana yake wakati akimpelekea bosi wake vitu vyake baada ya kutoa mbio na kuviacha ofisini.
Baada ya kukodi gari ambalo aliingia na kumweleza dereva ampeleke anapokaa Mustafa na kushangaa kujikuta amelala nyumbani akiwa na vitu vya bosi wake.
Alijiuliza ni kitu gani huwa kinamtokea na kujikuta kwenye hali ile ambayo ilianza kumtisha.
Kwa vile muda ulikuwa umekwenda baada ya kuangalia saa na kumuonesha ni saa mbili usiku, alikwenda kununua chipsi na soda kisha akapanda kitandani kuitafuta siku ya pili.
***
Pia hali aliyoikuta nyumbani kwake ilimtisha sana na kushangazwa kukuta kumesafishwa, hakuna dalili za damu kumwagika. Alijikuta akijiuliza nani aliyefanya usafi ule wakati anaondoka nyumbani hakukuwa na mtu yeyote lakini aliporudi alikuta pamefasafishwa.
Wazo lake lilikuwa labda shoga yake alipita kumsalimia na kukuta hali ile na kuamua kufanya usafi. Lakini kilichomshtua ni sehemu yenyewe ya tukio kuwa chumbani kwake na kushangaa kama shoga yake aliingia chumbani na kufanya usafi.
Aliamini kama ni shoga yake lazima atapiga simu kuuliza kilichotokea. Mustafa akiwa katikati ya mawazo, Sara aliingia na faili la kazi na kushangaa kumkuta bosi wake amezama kwenye dimbwi la mawazo.
"Bosi vipi?"
"Poa," Mustafa alijibu huku akinyanyua uso kumtazama Sara.
"Upo sawa?"
"Kiasi."
"Mmh! Bosi basi jana hata sielewi kilichonitokea!"
"Kitu gani Sara?"
Basi bosi baada ya wewe kuondoka, ghafla nilichukua vitu vyak..."
Kabla Sara hajaendelea kumhadithia, alinyamaza baada ya kusikia sauti ya mtu mapokezi.
Alitoka kwenda kumuangalia, alipofika alishtuka kutomkuta mtu. Lakini ghafla alishangaa kusikia kizunguzungu, alikwenda kwenye kiti chake na kukaa.
Baada ya kukaa alisikia usingizi mzito, alipojaribu kujiepesha, usingizi ulimpitia. Sara aliposhtuka alijikuta amelala kwenye kochi nyumbani kwake akiwa na nguo zake za kazini.
Alishtuka na kujiuliza kinachomtokea ni kweli au anaota, alikumbuka tukio kama hilo lilimtokea jana yake wakati akimpelekea bosi wake vitu vyake baada ya kutoa mbio na kuviacha ofisini.
Baada ya kukodi gari ambalo aliingia na kumweleza dereva ampeleke anapokaa Mustafa na kushangaa kujikuta amelala nyumbani akiwa na vitu vya bosi wake.
Alijiuliza ni kitu gani huwa kinamtokea na kujikuta kwenye hali ile ambayo ilianza kumtisha.
Kwa vile muda ulikuwa umekwenda baada ya kuangalia saa na kumuonesha ni saa mbili usiku, alikwenda kununua chipsi na soda kisha akapanda kitandani kuitafuta siku ya pili.
***
LIKE PAGE HIII USIPITWE NA MWENDELEZO WAKE SHARE UNIUNGE MKONO NIPOST NYINGNE
Mustafa baada ya kutoka kazini, alipitia hospitali kuangalia hali ya mkewe inaendeleaje. Alimkuta hajambo kiasi ila mwili ndiyo haukuwa na nguvu hivyo kuendelea kuwepo hospitali mpaka siku ya pili.
Hakutaka kumuulizia ilikuwaje mkewe akakaidi amri ya Shehna na kufanya aliyvotaka. Aliamini sehemu nzuri ya kulizungumza suala hilo ni nyumbani hasa baada ya kuhakikishiwa na daktari kuwa kesho yake angetoka.
Hakutaka kumsumbua mkewe, alimuacha apumzike na yeye kurudi nyumbani. Alipita kwenye mgahawa na kuchukua chakula cha kubeba ili akalie nyumbani. Alipofika nyumbani, alioga na kupata chakula kisha alichukua ‘laptop' yake na kucheza gemu ya magari ili kuutafuta usingizi.
Akiwa katikati ya mchezo, alisikia mlango ukigongwa huku akiitwa jina lake, aliacha kucheza gemu na kutoka sebuleni. Alitulia kabla ya kufungua mlango kusikilizia ni nani anayegonga usiku ule.
"Nani?" aliuliza kwa sauti ya juu kidogo.
"Mimi," sauti ya kike ilijibu ambayo haikuwa ngeni masikioni mwake lakini hakuikumbuka ni ya nani.
"Wewe nani?"
"Shehna."
"Ka..ka..ribu," Mustafa alishtuka na kupata kigugumizi cha ghafla baada ya kusikia jina la Shehna.
Alifungua mlango na kulakiwa na harufu nzurii ya manukato, ilikuwa tofauti na aliyoizoea siku zote, ilikuwa nzuri zaidi. Mbele yake alikuwa amesimama mwanamke mzuri sana aliyekuwa amevalia vazi refu la gauni la kumeremeta lililoacha mabega wazi na kufunikwa na mtandio.
Chini alivaa viatu virefu, alipoangalia nje hakuona gari lolote lililopaki jirani. Kutokana na viatu vile venye kisigino kirefu, aliamini asingeweza kutembea kwa miguu umbali mrefu.
"Karibu ndani."
"Asante," Shehna alisema huku akiingia ndani na kulinyanyua juu gauni lake lililokuwa linaguza chini.
Shehna alikwenda kukaa kwenye kochi na kutulia, Mustafa baada ya kufunga mlango alirudi kukaa kwenye kochi lingine.
"Karibu sana," Mustafa alimkaribisha tena.
"Asante za hapa?"
"Mmh! Nzuri kiasi," Mustafa alijibu huku akimuibia Shehna kumtazama kutokana na uzuri wake, kitu alichokigundua Shehna na kusema huku akiondoa mtandio kichwani na kuziacha nywele zake ndefu nyeusi zionekane vizuri.
Aliachia tabasamu kama ua la mchana linavyochanya, macho yake makubwa kidogo yaliyopakwa wanja yaliongeza uzuri wake. Yalioneka yameumbwa kwa mahaba tu.
"Mustafa usipate shida ya kuhangaika kunitazama, una uhuru wa kunitazama upendavyo wala usiniogope."
"Ha..ha..una..na," kutokana na kushindwa kujiamini maneno yalipandana.
Mustafa kwa mara ya kwanza alimuona mwanamke mzuri katika maisha yake. Hakugundua kasoro yoyote kwa Shehna, kumbukumbu zake zilimkumbusha ndiye mwanamke aliyefanya naye mapenzi katika ndoto.
"Mustafa mimi mtu wa kawaida najua uzuri wangu utakubabaisha, nione kama nyama yoyote isiyo na mfupa kwenye kisu kikali."
"Unatu..tumia kinywaji gani?" Mustafa alijikaza na kumuuliza.
"Kwa leo sihitaji kitu nataka tuzungumze kitu ili niondoke zangu."
"Kitu gani?"
"Mustafa unakumbuka nilikuahidi nini?"
Hakutaka kumuulizia ilikuwaje mkewe akakaidi amri ya Shehna na kufanya aliyvotaka. Aliamini sehemu nzuri ya kulizungumza suala hilo ni nyumbani hasa baada ya kuhakikishiwa na daktari kuwa kesho yake angetoka.
Hakutaka kumsumbua mkewe, alimuacha apumzike na yeye kurudi nyumbani. Alipita kwenye mgahawa na kuchukua chakula cha kubeba ili akalie nyumbani. Alipofika nyumbani, alioga na kupata chakula kisha alichukua ‘laptop' yake na kucheza gemu ya magari ili kuutafuta usingizi.
Akiwa katikati ya mchezo, alisikia mlango ukigongwa huku akiitwa jina lake, aliacha kucheza gemu na kutoka sebuleni. Alitulia kabla ya kufungua mlango kusikilizia ni nani anayegonga usiku ule.
"Nani?" aliuliza kwa sauti ya juu kidogo.
"Mimi," sauti ya kike ilijibu ambayo haikuwa ngeni masikioni mwake lakini hakuikumbuka ni ya nani.
"Wewe nani?"
"Shehna."
"Ka..ka..ribu," Mustafa alishtuka na kupata kigugumizi cha ghafla baada ya kusikia jina la Shehna.
Alifungua mlango na kulakiwa na harufu nzurii ya manukato, ilikuwa tofauti na aliyoizoea siku zote, ilikuwa nzuri zaidi. Mbele yake alikuwa amesimama mwanamke mzuri sana aliyekuwa amevalia vazi refu la gauni la kumeremeta lililoacha mabega wazi na kufunikwa na mtandio.
Chini alivaa viatu virefu, alipoangalia nje hakuona gari lolote lililopaki jirani. Kutokana na viatu vile venye kisigino kirefu, aliamini asingeweza kutembea kwa miguu umbali mrefu.
"Karibu ndani."
"Asante," Shehna alisema huku akiingia ndani na kulinyanyua juu gauni lake lililokuwa linaguza chini.
Shehna alikwenda kukaa kwenye kochi na kutulia, Mustafa baada ya kufunga mlango alirudi kukaa kwenye kochi lingine.
"Karibu sana," Mustafa alimkaribisha tena.
"Asante za hapa?"
"Mmh! Nzuri kiasi," Mustafa alijibu huku akimuibia Shehna kumtazama kutokana na uzuri wake, kitu alichokigundua Shehna na kusema huku akiondoa mtandio kichwani na kuziacha nywele zake ndefu nyeusi zionekane vizuri.
Aliachia tabasamu kama ua la mchana linavyochanya, macho yake makubwa kidogo yaliyopakwa wanja yaliongeza uzuri wake. Yalioneka yameumbwa kwa mahaba tu.
"Mustafa usipate shida ya kuhangaika kunitazama, una uhuru wa kunitazama upendavyo wala usiniogope."
"Ha..ha..una..na," kutokana na kushindwa kujiamini maneno yalipandana.
Mustafa kwa mara ya kwanza alimuona mwanamke mzuri katika maisha yake. Hakugundua kasoro yoyote kwa Shehna, kumbukumbu zake zilimkumbusha ndiye mwanamke aliyefanya naye mapenzi katika ndoto.
"Mustafa mimi mtu wa kawaida najua uzuri wangu utakubabaisha, nione kama nyama yoyote isiyo na mfupa kwenye kisu kikali."
"Unatu..tumia kinywaji gani?" Mustafa alijikaza na kumuuliza.
"Kwa leo sihitaji kitu nataka tuzungumze kitu ili niondoke zangu."
"Kitu gani?"
"Mustafa unakumbuka nilikuahidi nini?"
Usikose kusoma Mwendelezo wake SHARE NIPOST NYINGNE NOW
No comments: