Binadamu aliyegeuka fisi baada ya kukosewa masharti ya mazishi…
Inasemekana kwamba baada ya kufariki watoto wake hawakutekeleza suala hilo na ndio jambo linatajwa kuwa limesababisha akageuka kuwa fisi ambaye anasumbua watu na kula mifugo kila wakati.
>>>>Kwa taarifa zilizopo kuhusu anakotokea huyo fisi wanadai alikuwa mganga wa kienyeji na alitoa masharti akisema siku nikifa mnizike bila sanda mnivishe nguo nyeusi, mbomoe ukuta ndo mtoe maiti msinitolee mlangoni sasa inadaiwa kuwa wale ndugu zake hawakufanya alivyotaka ndio ikatokea, nafikiri kuna mambo ya kiimani kwamba alitoka akaenda maeneo ya likondwe, mkunwa mpaka maeneo ya dihimba huko amefanya vurugu zake ndio karudi huku kwetu:- Shuhuda
No comments: