Msukuma: Sijawahi Kuwa Rafiki wa Edward Lowassa


Akizungumza asubuhi hii kupitia star tv,Joseph Kasheku (msukuma )amesema hajawahi kuwa rafiki wa Lowassa na alichokuwa anakifanya mwaka jana ni umamluki
kama wanavyofanya askari kwenye vita.

Amesema wazi kuwa alitumwa kumpeleleza Lowassa kipindi hicho.Pia amesema hajawahi kuchukua hata senti moja ya Lowassa,na kama kuna mtu anajua alichukua hela ya Lowassa aseme na yupo tayari kuzirudisha.

My take: Kabla ya mtu kuwa na rafiki au sponser mchunguze vya kutosha

No comments:

Powered by Blogger.