PICHA: Familia na watu zaidi ya 14000 walipokusanyika kufanya ibada kwa ajili ya Muhammad Ali
Ijumaa ya June 10 ndio ilikuwa siku ambayo wapenzi na mashabiki wa mchezo wa ngumi, walipata nafasi ya mwisho ya kufanya ibada ya pamoja
ya katika ukumbi wa Kentucky Freedom kumuombea bondia nguli wa mchezo wa ngumi duniani hayati Muhammad Ali.
Familia ya hayati Muhammad Ali ilikusanyika pamoja na umati wa watu unaotajwa kufikia 14000 na kufanya ibada ya pamoja ya saa moja, kwa ajili ya kumuombea Muhammad Ali, ibada ambayo ilihudhuriwa na wake zake pia Khalilah Camacho-Ali na Veronica Porche-Ali.
Mke wa tatu wa Muhammad Ali‘Veronica Porche’
Mke wa pili wa Muhammad AliKhalilah Camacho’
No comments: