Zitto Kabwe, Lissu, Lema na Halima Mdee Kusimamishwa Ubunge Kisa Hichi Hapa


Zito ameandika haya katika ukurasa wake wa Facebook :
"Wabunge wafuatao tunajadiliwa kusimamishwa kazi za Bunge kwa vipindi tofauti tofauti. Wabunge hao ni Tundu Lissu,Godbless Lema, Halima Mdee, John Heche, Esther Bulaya na Mimi. Kosa letu ni kutaka Bunge lionyeshwe moja kwa moja na televisheni ya Taifa" Zitto Kabwe


No comments:

Powered by Blogger.