PICHA 10 : Real Madrid walivyowasili jijini Madrid na Kombe lao la 11 la UEFA

                  34BD6C4C00000578-3614796-image-a-48_1464504236963
                    34BD66F500000578-3614796-image-a-22_1464503599415
Klabu ya Real Madrid ya Hispania usiku wa May 28 2016 ilicheza mchezo wake wa fainali ya Klabu Bingwa barani dhidi ya Atletico Madrid katika jiji la Milan Italia uwanja wa San Siro, hiyo ilikuwa fainali inayohusisha timu kutoka jiji moja la Madrid, hivyo upinzani ulikuwa mkubwa.




Klabu ya Real Madrid ya Hispania usiku wa May 28 2016 ilicheza mchezo wake wa fainali ya Klabu Bingwa barani dhidi ya Atletico Madrid katika jiji la Milan Italia uwanja wa San Siro, hiyo ilikuwa fainali inayohusisha timu kutoka jiji moja la Madrid, hivyo upinzani ulikuwa mkubwa.

                               34BD773C00000578-3614796-image-a-77_1464506697932

                               34BD678600000578-3614796-Real_defenders_Pepe_left_and_Sergio_Ramos_take_great_joy_in_show-a-70_1464506190953

                               34BD605100000578-3614796-image-a-4_1464503170204

                               34BD672500000578-3614796-image-a-9_1464503301070

                              34BD72F200000578-3614796-image-a-67_1464506149164

                               34BD669900000578-3614796-image-a-14_1464503375014

34BD6C4C00000578-3614796-image-a-48_1464504236963
Katika mchezo huo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Real Madrid walifanikiwa kutwaa Kombe lao 11, huku Atletico wakiambulia kushindwa kuweka rekodi ya kutwaa Kombe hilo kwa mara ya kwanza katika historia ya klabu yao, Real Madrid walifanikiwa kuifunga Atletico kwa mikwaju ya penati 5-3, hiyo ni baada ya dakika 12o kumalizika kwa sare ya goli 1-1.

No comments:

Powered by Blogger.