Hoja ya kumuondoa naibu spika yatua bungeni rasmi
Wabunge wa Upinzani Bungeni wameamua kutoa Hoja ya kutokuwa na Imani na Naibu Spika kwa mujibu wa kanuni ya 138(1) ya Kanuni za Bunge na Ibara ya 85(4)(c) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania-Zitto Kabwe
Jioni hii:
Wabunge wote wa Upinzani wameamuriwa kutoka nje ya Bunge kwa sababu za kuhoji suala la wanafunzi wa UDOM kufukuzwa chuoni kinyama.
Jioni hii:
Wabunge wote wa Upinzani wameamuriwa kutoka nje ya Bunge kwa sababu za kuhoji suala la wanafunzi wa UDOM kufukuzwa chuoni kinyama.
No comments: