TEAM Wema Sepetu Wacharuka..Waamua Kulipiza Kisasi Kwa Nay wa Mitego kwa Kumfanyia Hivi


Team Wema wana hasira na Nay wa Mitego baada ya rapper huyo kumchokoza malkia wao kwenye ngoma yake

mpya ‘Shika Adabu Yako.’
Kwenye wimbo huo Nay anarap:

Wema Sepetu una mimba kweli, au ndo kiki za msimu?
Miezi tisa sio mingi, isije ikakugharimu
Na siku hazigandi tayari ushakuwa bibi
Na unakoelekea utatafuta kiki hadi kwa Fid

Mistari hiyo hawajaipokea vizuri na sasa Team Wema wako kooni kwa Nay wa Mitego wakilipiza kisasi. Wanazitengeneza picha za rapper huyo na kuzikiweka lipstick na mawig/weaving kumpa muonekano wa mwanamke
 

No comments:

Powered by Blogger.