Rais Magufuli kasafiri kwenda Arusha.. info nilizonazo ni hizi
President wa
Jamuhuri ya muungano wa
Tanzania John Pombe Magufuli ameshafika Arusha tayari
kwa ajili ya kuongoza mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi za jumuiya
ya Afrika Mashariki.
Kwenye hii picha
anaonekana akisalimiana na mbunge wa Arumeru Mshariki Joshua Nassari ambae
alikua mmoja wa viongozi na wananchi waliojitokeza kumpokea uwanja wa
ndege wa kimataifa wa kilimanjaro (KIA).
Picha imepigwa na
Ikulu.
No comments: