Rais Magufuli Asema Watu Wasishangae Paul Makonda Akipanda Cheo Kazi yake Imeoneakana



Magufuli akiongea na Wazee wa Dar es Salaam leo Amemsifia Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda na Kusema siku akipanda cheo watu wasinung'unike, kazi yake imeoneakana na heshima yake imeonekana

Hongera Makonda. Nyota yako imewaka. Mh Raisi kakuona... Sasa usiende kulala.

Nadhani leo Mbunge wa Ubungo (Mh Kubenea) ataugua homa..

No comments:

Powered by Blogger.