Matokeo ya awali ya uchaguzi nchini Uganda, Museveni anaongoza kwa asilimia 61.75














Matokeo ya awali ya Uchaguzi mkuu nchini Uganda
yaliyotangazwa na Tume ya Uchaguzi(EC), yanaonyesha Rais Museveni anaongoza kwa kupata kura 1,362,961 sawa na asilimia 61.75
-Mpinzani wake wa karibu Kizza Besigye anafuatia kwa kupata kura 738,628 sawa na asilimia 33.47

No comments:

Powered by Blogger.