Usiku wa February 16 kuamkia
February 17 jamaa ambaye jina
lake lilizidi kukua baada ya ushindi wa shindano
la
Big Brother Idris Sultan,
aliingia kwenye headlines baada ya kupost picha Instagram yenye watoto mapacha,
lakini aliambatanisha picha hiyo na maneno ambayo yanaonesha huzuni ya kupoteza
watoto mapacha. Idris aliandika ujumbe unaosomeka kwa lugha ya
kiingereza, lakini tafsiri yake ni kuwa alikuwa anatarajia kupata watoto
mapacha ila ujauzito umeharibika wa muhusika aliyetarajia kuzaa nae.
No comments: