Mpenzi wa Nay wa Mitego atupia Picha chafu mtandaoni akiwa na Ney mwenyewe


Mchumba wa staa wa Bongo Fleva, Emanuel Elibariki 'Nay wa Mitego' , Siwema Edson 'Mama Curtis' amepost picha za mahaba akiwa kitandani na mzazi mwenzie huyo kupitia Account yake ya Instagram.

No comments:

Powered by Blogger.