VIDEO: Mahojiano ya Television ya CCTV Africa na mwimbaji Alikiba
Zaidi ya siku saba zilizopita mwimbaji staa wa bongofleva Alikiba alituonyesha kwa mara ya kwanza
single yake mpya ya ‘Lupela’ ambayo ameihusisha na ubalozi wake wa
kutetea Uhai wa Tembo ambao wamekua wakiuwawa sana
kwenye bara la Afrika.Ni party ambayo ilifanyika
kwenye hoteli pembeni mwa bahari ya hindi Dar es salaam na
ilikua na Waandishi wa habari kutoka pia vyombo vya habari vya kimataifa ndio
maana habari hii imefika mpaka CCTV Africa, itazame hii video
hapa chini Alikiba akihojiwa
No comments: