Harry Redknapp "Jose Morinho ameshakubali kuchukua kibarua United"
Tetesi zilizoanza kuenea tokea January huenda zikawa kweli
kwani katika mahojiano na Radio moja jijini london Harry Redknapp amesema Jose
tayari ni kocha wa Man United. Redknapp ni mmoja kati ya makocha wanaoheshimika
uingereza kwakufanya kazi nzuri akiongoza club kama QPR na Totenham Spurs
ambayo aliifikisha robo fainali Ligi ya mabingwa ulaya (uefa) kimpindi cha nyima.
Harry Redknapp aliendelea kusema kuwa Luis Van Gaal amekosa utashi na mbinu
zake au ufundishaji wake hauendani na club ya Manchester United.
Hivi karibuni mambo yamezidi kuwa mabaya kwa Luis kwani timu
yake imekuwa ikipoteza michezo iliyotegemewa kuwa ni mirahisi kwa timu kama
Manchester Unided. Kipigo dhidi ya Sunderland weekend iliyopita kimewakera sana
mashabiki wa united na pia wamiliki wa Manchester United wameona ni vema Jose
Morhino achukue mikoba ya Van Gaal
No comments: